Header Ads

test

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA MABALOZI MBALIMBALI WA NCHI ZA BARA LA AFRIKA IKULU ZANZIBAR

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wageni wake Balozi wa Egypt Nchini Tanzania Mhe.Sharif A.Ismail na (kulia kwake) Balozi wa Malawi Nchini Tanzania Mhe.Andrew Kumwenda,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-10-2024.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuagana na Balozi wa Morocco Nchini Tanzania Mhe.Zakaria El Goumiri,baada ya kumaliza mazungumzo na Ujumbe wa Umoja wa Mabalozi mbalimbali wa Nchi za Bara la Afrika, yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-10-2024.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Umoja wa Mabalozi mbalimbali wa Nchi za Bara la Afrika,ukiongozwa na Mwenyekiti wake Balozi wa Comoro Nchini Tanzania Dkt.Ahamada El Badaoui Mohammed (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-10-2024.(Picha na Ikulu)

No comments