Header Ads

test

TAARIFA KWA UMMA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian 

Makonda kwa kushirikiana na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo wa 
Zanzibar Mhe. Dkt. Riziki Pembe Juma wameteua Wajumbe wa Kamati ya Ndani 
(LOC) ya uratibu wa maandalizi ya Mashindano ya Mpira wa Miguu Barani Afrika
(AFCON 2027).


 

No comments