KAMISHINA TRA ,MKURUGENZI BANDARI WATEMBELEA BANDARI YA TANGA.
Na Mwandishi Wetu,Tanga
KAMISHINA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Prasduce Mbossa Agosti 26,2024 wametembelea bandari ya Tanga.
Post a Comment